JAN CHRIS ESSELINK
12th March 1928 – 23rd April 2022
It is with humble acceptance of God’s will that we announce the death of JAN CHRIS ESSELINK on 23rd April 2022 after a short illness.
He was the son of the late Jan Esselink and the late Anna Hendricka Esselink- Kieskamp.
Brother to the late Alies J Braam-Esselink, Frieda J. Raat-Esselink, Janet D. de Jong-Esselink and Albert J.H. Esselink.
Brother-in-law to the late Frits Braarn, the late Haas Raat, Jan de Jong and Addy G. Esselink Heideman.
Husband to Florence Grace Awor and father to Nicole Esselink and Peter Kenneth.
funeral service will be held on Thursday 28th April at his farm in Kipkenyo (Eldoret) where he will be later hid to rest.
And think of him as living in the hearts of those he touched…for nothing loved is ever lost and he was loved so much
Twachukua fursa hii pamoja na Familia yangu kuwapa pole zetu kwa kumpoteza mpendwa na rafiki yenu CHRIS katika KIfo. Nijambo lenye kuhusunisha sana tunapompoteza wapendwa wetu katika Kifo.
Lakini Mungu wetu mweye upendo anatuahidi kwenye neno lake Biblia Andiko la ISAYA33:24-linasema ”Hakuna mkaaji atakayesema ;Mimi ni mgojwa”.Hilo linamaanisha Mungu anauwezo wa kuondoa tatizo hili la Ugonjwa na ataliondoa.
Hilo linamaanisha kwamba madhara ambalo husababishwa na Ugonjwa yaani Kifo halitakuwepo kabisa.Andiko la ISAYA 25:8 linasema-”Atameza kifo milele, na Bwana Mwenye Enzi kuu Yehova atafuta kabisa machozi katika nyuso zote. Hizo ni ahadi nzuri kweli kweli kutoka katika Neno la Mungu Biblia.
Maneno kama hayo yanayofariji na mengine mengi kutoka kwa Neno la Mungu Biblia;Unaweza kuyapata kwenye tovyuti yetu ya jw.org .